Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,269
- 5,883
Nimejaribu kufuatilia ubishano wa gari ipi nzuri kibongo bongo kwa mtu wa kipato cha chini, kati ya Diesel na Petrol. Nimekuta watu wanabishana tu.
Wengine wanasema Diesel inatumia fuel kidogo kuliko Petrol.
Wengine wanasema gari za Diesel zina gharama sana kwenye maintenance.
Wengine wanasema Petrol ipo juu sana (gharama za wese zinafilisi)
Wakuu, kwani wabongo wengi wa kipato cha chini wanatumia magari ya Diesel au Petrol.
Naperuzi website ya Befoward hapa nimekwama hicho kipengele.
Wengine wanasema Diesel inatumia fuel kidogo kuliko Petrol.
Wengine wanasema gari za Diesel zina gharama sana kwenye maintenance.
Wengine wanasema Petrol ipo juu sana (gharama za wese zinafilisi)
Wakuu, kwani wabongo wengi wa kipato cha chini wanatumia magari ya Diesel au Petrol.
Naperuzi website ya Befoward hapa nimekwama hicho kipengele.