Nataka kuacha kazi


Very nice sharing bro, noted and learnt well
 
Tafuta kwanza vitabu vifuatavyo vya uvisome kwa makini: "Rich Dad Poor Dad", "Be Rich & Happy" na "How to quit from your job" vyote vya Robert Kiyosaki. Vinaweza kukupa ushauri mzuri zaidi. All the best.

Well, Rich Dad, Poor Dad ndio nakitumia sana for some years now, next am going to see "How to quit from your job", thank you comrade Edoardo
 

Nimekukubali bro, very good help
 
Ndugu acha tuu wala usijal. Mm ni mfano pia nlikuwa 'boss' jina mahala flan mkoa ila mwisho wa siku yakanishinda. Nliiajiriwa nkiwa na m3 kny account ila wakat naacha kazi nlikuwa na laki2 themanini ila ss angalau mambo mswanhu nami naweza anza kupiga kijimsingi Goba huko. Kujiajiri kunalipa sana ukiwa focused na hutokuta kamwe

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 

aisee,excellent decision! Na usibadili kabisaa hayo mawazo...u will make it.
 
Usikate tamaa ndugu,mimi nilikuwa nalipwa mshahara wa take home 1.4m baada ya makato yote. lakini ktokana na kutokua huru pamoja na kufanya kazi muda wa ziada bila malipo ndipo nilipoamua kuchoma meli moto.kwa sasa nimejiajiri Napata zaidi ya nilichokua Napata,...nipo huru
 
One wiseman said being bold and moving outside the comfort zone is a vital key in succeeding in doing your own business rather than being employed. It is possible mkuu and all the best!
 
Mawazo mazuri japokuwa uzi ni wa siku nyingi, kiukweli inabidi tutoke utumwani maana hata mie huwa hili ninalifikiria na ndio maana katika kipindi changu cha kufanya kazi nimekuwa nikifanya kazi kwenye taasisi binafsi kwa mkataba kama strategy ya kutoka utumwani na serikalini sikuwahi kuomba kwa kuogopa kuizoea kazi hasa ukizingatia ajira za serikalini zenye mafao bora nyingi huwa zina wenyewe except kwa zile profession ambazo ni maalum ambazo kwa unyeti wake huwezi kufanya ufisadi
 
kazi ni utumwa asilimia kubwa ya sisi vijana nikushindwa kuthubutu na kusongambele na hii husababiswa na uoga na kutokujiamini wewe umeshathubutu sasa songambele ajira ni utumwa na unyanyasaji tu.kila la kheli kaka
MSHALE KWENDA PORINI HAIMAANISHI UMEPOTEA
 
Kasimamie miradi yako. Mi nilikomaa kutumikia Akira ya kuajiriwa paka nikaloose miradi yangu kwa kushindwa kuisimamia vizuri sasa ni majuto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…