G Mpoleeee
Senior Member
- Feb 9, 2012
- 153
- 16
hapo utaonekana kilaza! Ww unalyk post au mtu?maneno uliolyk hayana mshiko?
Asiejua maana usimwambie maana! mkuu tuko pamoja chomoa "like" zako zote, asikuone kilaza huku anakuharibia huku we unamfurahia.
usi-unlike bwana ntatoa mahari
kwa nini ana m pm mtoto wangu
Sio lazima kila siku uendekeze stress/mkazo mawazo,take it easy(potezea)sometime.....hapo je mtakatifu ivuga.
Siamini macho yangu!mmmh! Huyo mtoto mtoto au mtoto mkubwa?
Kufa....
Siamini macho yangu!
Sikupendi tena! Ndio nini lakini jamani? Kuachwa na uporoto ndio upotee hivyo jf?
Bado nna hasira zako, subiri ziishe ndio nikupe samari.hehehehe! Nilikuwa na stress za matokeo ya form iv. Hebu naomba summary ya yaliyojiri. Lol. Nimekumisije!
Bado nna hasira zako, subiri ziishe ndio nikupe samari.
Hujanionea klorokwini wangu jamani?
Sheria za jf zinasemaje kama mtu akichafua cv ya lawyer?khaaa! Hebu kunywa maji hasira ziishe. Hivi huna habari kloro alikuwa anatumia laptop ya jirani, jirani amehama mtaa.
sheria za jf zinasemaje kama mtu akichafua cv ya lawyer?
Lol... Husninyo ana kesi ya kujibu we subiri lawyer akuje!hahaha kloro ana mbwembwe sana ila ana mbaya wake
sitaki kwanza..utaenda jela ujue kongosho
Jamani, uki-unlike utakuwa umenionea sana
Kalianza kenyewe uchokozi
Mie nikaamua kumaliza mchezo
Kangeniona kiazi
basi ntamlea tu kwa macho
ntamuoa 2032
huu jamaa kaniudhi
aya.we kongosho we..ndio ahadi gani hio huku mwisho wa dunia ukiwa umeshakaribia