Nataka hawa ndiyo wawe katika Benchi la Ufundi la Taifa Stars na siyo 'Goigoi' walioko sasa

1. Mecky Mexime Kocha Msaidizi

2. Ally Mayai Meneja wa Timu

3. Juma Kaseja Kocha wa Makipa

Kocha Mkuu Kim Poulsen hatufai ila awe Mkurugenzi wa Ufundi wa Timu za Taifa na atafutwe Kocha mwenye Viwango wa Kimataifa na anayejua Kucheza Soka la Kimalengo na siyo Soka la Hamasa, Siasa na Upuuzi.

Maoni yangu yaheshimiwe tafadhalini.
Maoni yako si mabaya lakini kim hana kosa
 
Na unaposema "unataka" wewe ni nani nchi hii?

Labda useme unapendekeza popoma.
Labda ni kiongozi wa CCM maana hao ndio wanadhani kila kitu ni chao. Uliona hata baada ya ushindi wa Benin eti mpaka Waziri mkuu anaenda kwenye mazoezi ya Stars anawekewa na kiti kabisa.
Ile ilikuwa kuwaweka vizuri kisaikolojia Watanzania kuwa serikali ya CCM ina mchango mkubwa kwenye ushindi (kwani walishaamini WC tunaenda). Baada ya kufungwa wanaicheka.
 
Back
Top Bottom