fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,413
- 7,966
Maoni yako si mabaya lakini kim hana kosa1. Mecky Mexime Kocha Msaidizi
2. Ally Mayai Meneja wa Timu
3. Juma Kaseja Kocha wa Makipa
Kocha Mkuu Kim Poulsen hatufai ila awe Mkurugenzi wa Ufundi wa Timu za Taifa na atafutwe Kocha mwenye Viwango wa Kimataifa na anayejua Kucheza Soka la Kimalengo na siyo Soka la Hamasa, Siasa na Upuuzi.
Maoni yangu yaheshimiwe tafadhalini.