Nataka gari la kuhimili safari ndefu

Nataka gari la kuhimili safari ndefu

Guantanamo Sobibor

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2017
Posts
897
Reaction score
1,133
wana JF habari za saa hizi,naomba kujua kati ya gari hizi(altezza,brevis,mark x,premio,mark ii grande) ipi inaweza kuhimili safari ndefu walau Dar to Tanga kwa kuzingatia utulivu barabarani na sababu zengine swala la mafuta si tatizo kwangu nalimudu.
 
wana JF habari za saa hizi,naomba kujua kati ya gari hizi(altezza,brevis,mark x,premio,mark ii grande) ipi inaweza kuhimili safari ndefu walau Dar to Tanga kwa kuzingatia utulivu barabarani na sababu zengine swala la mafuta si tatizo kwangu nalimudu.
Hapo toa premio na altezza......lakini zilizobakia ni very comfortable na stability control ipo vizuri.....

Kwa premio labda uchukue ya kuanzia 2005....

Altezza haiko comfortable kabisa compare na mark matusi au brevenga....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom