Ntilla
Member
- May 23, 2011
- 73
- 55
Habari wadau mimi nilimaliza A-leval mwaka 1998 na nini Principal Pass moja na Subsidiary Moja..Kwa sasa ninfanya kazi Shirika fulani kubwa hapa Tz na ninahitaji kuongeza ELIMU angalau ya Diploma lkn niko kijijini Biharamulo.. Naomba mnijuze ni chuo kipi cha uhakika na kwa performance hiyo ninaweza pata Admission maana OUT walinizingua nikaachana nao..!?