Nataka diploma kwa distance learning nifanyeje..!?

Ntilla

Member
May 23, 2011
73
55
Habari wadau mimi nilimaliza A-leval mwaka 1998 na nini Principal Pass moja na Subsidiary Moja..Kwa sasa ninfanya kazi Shirika fulani kubwa hapa Tz na ninahitaji kuongeza ELIMU angalau ya Diploma lkn niko kijijini Biharamulo.. Naomba mnijuze ni chuo kipi cha uhakika na kwa performance hiyo ninaweza pata Admission maana OUT walinizingua nikaachana nao..!?
 
Habari wadau mimi nilimaliza A-leval mwaka 1998 na nini Principal Pass moja na Subsidiary Moja..Kwa sasa ninfanya kazi Shirika fulani kubwa hapa Tz na ninahitaji kuongeza ELIMU angalau ya Diploma lkn niko kijijini Biharamulo.. Naomba mnijuze ni chuo kipi cha uhakika na kwa performance hiyo ninaweza pata Admission maana OUT walinizingua nikaachana nao..!?

Ntilla,
Suura
Unataka Dip. ya course gani? Nilitaka nikushauri uchukue kutoka Cambridge International College (CIC)-UK. Wanatoa Business Related courses zinazoheshimika.
 
Last edited by a moderator:
A-leval nilisoma PGM hii huwa inanipa uhakika wa kusoma chochote ingawa sitaki kuumiza sana kichwa hivyo Human Resources na Administrations nadhani itkua poa hata hivyo ngoja nipite huko CIC
Ntilla,
Suura
Unataka Dip. ya course gani? Nilitaka nikushauri uchukue kutoka Cambridge International College (CIC)-UK. Wanatoa Business Related courses zinazoheshimika.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom