NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,380
- 17,958
- Thread starter
- #21
Nenda fb bana.
Mapenzi ya FB ya kitoto bana.....sisi twataka vitu real....
Nenda fb bana.
kwani wewe ni raia wa nchi gani na huko ulipo umekosa mwanamke? kama umekosa utakuwa na matatizo yako binafsi
nikufanyie mpango kwa asha boko mkuu?
-- mtoto mrembo!
-- anajua mapozi ya kila aina!
-- kubembeleza ndo usiseme aisee!
---uno lake ni zaidi ya snura wa majanga!
![]()
additional characteristics--
-- she is flexible compared to her body structure!
-- she is very shy! imagine atakavyokuwa anang'ata vidole na macho yake mviringo mbele yako!
make a deal sir...
Huyu naye (Dinazarde) kashika mooto sijui kama nini. Dada mie Niko hapa utani tu..........inakaa we in wale wakisalamiwa na boy wanaona no Kama wametongozwa.
Lol Nairobia unatoka kisich ama wewe ni wa Gikosh,unataka msupa wa Nai ama Westi na Buru phase 1
Hata mi nipo hapa utani tu sihitaji mitongozoo humu yaa mitaan inanitosha mpaka nishakifiwaa,ushapataa sasa demu wa kitanzaniaaa
Saa unaonaje? nikukamie ama?
We sio saizi yangu tafuta saizi yako!!!!
We hujaniona utajuaje saizi yangu.
Mi ni saizi ya kiatu lazima kiwe na nambaa
hahahah lugha gongano,haya fanya mpango utafte kamusi ili ueleweKiswahili chenyu kigumu hata sielewi wengine wenu mnachosema.
hahahah lugha gongano,haya fanya mpango utafte kamusi ili uelewe
mineno mingine mnayosema nyinyi Watanzania haipatikani hata kwa Kamusi.
Nasikia wako romantic na wenye heshima kushinda wakenya. Nataka demu Mtanzania hapa ndani.
mineno mingine mnayosema nyinyi Watanzania haipatikani hata kwa Kamusi.
We mineno yako inapatikana kwenye kamusi ya ki kikuyu au ya kijaluo,m!!!!
Kiswahili chenyu kigumu hata sielewi wengine wenu mnachosema.
Nasikia wako romantic na wenye heshima kushinda wakenya. Nataka demu Mtanzania hapa ndani.
We mineno yako inapatikana kwenye kamusi ya ki kikuyu au ya kijaluo,m!!!!