Nataka demu mtanzania

Nataka demu mtanzania

NairobiWalker

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
16,379
Reaction score
17,957
Nasikia wako romantic na wenye heshima kushinda wakenya.

Nataka demu Mtanzania hapa ndani.
 
Mkuu nitafutie mkenya mimi nikitafutie mtanzania.
Deal?


||"You were too young to understand"||
 
Nasikia wako romantic na wenye heshima kushinda wakenya. Nataka demu Mtanzania hapa ndani.

nikufanyie mpango kwa asha boko mkuu?

-- mtoto mrembo!

-- anajua mapozi ya kila aina!

-- kubembeleza ndo usiseme aisee!

---uno lake ni zaidi ya snura wa majanga!

Asha+Boko1.JPG


additional characteristics--

-- she is flexible compared to her body structure!

-- she is very shy! imagine atakavyokuwa anang'ata vidole na macho yake mviringo mbele yako!

make a deal sir...
 
Aliekuambiaa kakoseaa huku utapigwa mara 6 ya mnavyopigwaa huko na wanawake zenyuu,boraa kaa na wa huko huko
 
Mademu wa kenya sura kama wamelamba ndimu,nenda dar sehem moja inaitwa kambi ya fisi.niwakarim sana,nenda kipande ile.
 
Kiswahili chenyu kigumu hata sielewi wengine wenu mnachosema.
 
Mademu wa kenya sura kama wamelamba ndimu,nenda dar sehem moja inaitwa kambi ya fisi.niwakarim sana,nenda kipande ile.

Ukiona demu mkalii Kenyaa sio mkenyaa ni mgenii katoka sehemu nyinginee au mashomber lakin chata zao hawa jamaa unaweza piga chafyaa
 
Ukiona demu mkalii Kenyaa sio mkenyaa ni mgenii katoka sehemu nyinginee au mashomber lakin chata zao hawa jamaa unaweza piga chafyaa

Type in simpler language please. I didn't type in complex Kenyan Swahili that you couldn't understand yourself.
 
Kiswahili chenyu kigumu hata sielewi wengine wenu mnachosema.
Kwenyu ni kwenyu wengine tunasema shen ni shen. Obama anahepahepa anaenda huku na huko. Tanzania sasa ni wapi. Njoo kwa nyumbani Obama!
 
Tyta njoo uweke picha achague demu huyo kwao wamemtosaa naona namshauri aende rwanda atawapataa
 
Last edited by a moderator:
Huyu naye (Dinazarde) kashika mooto sijui kama nini. Dada mie Niko hapa utani tu..........inakaa we in wale wakisalamiwa na boy wanaona no Kama wametongozwa.
 
kwani wewe ni raia wa nchi gani na huko ulipo umekosa mwanamke? kama umekosa utakuwa na matatizo yako binafsi
 
Back
Top Bottom