Glory Thomas
New Member
- Jun 12, 2023
- 2
- 4
Mmeshindaje wadau, nilikuwa naulizia wenye uelewa na biasharra ya kupeleka bidhaa Congo mje mtupe madini, nataka niende katanga je ni bidhaa gani inatoka huko?
Na utaratibu upoje inabidi uwe na nini na nini na kwa sisi wenye mtaji mdogo unaweza anza hata na shilingi ngapi nasikia congo hamna viwanda ila biashara ipo sana, wenye uzoefu mtupe muongozo basi
Na utaratibu upoje inabidi uwe na nini na nini na kwa sisi wenye mtaji mdogo unaweza anza hata na shilingi ngapi nasikia congo hamna viwanda ila biashara ipo sana, wenye uzoefu mtupe muongozo basi