Natafutwa na HESLB na Mkuu wa Mkoa

Natafutwa na HESLB na Mkuu wa Mkoa

Hivi betting ndo uliona inalipa? Yaani na kusoma yote IFM, kweli akili yako ikakwambia kwamba kama huna ajira best way ni betting? Yaonekana una GPA ya 1.8 si Bure. Ni hayo tu.
But Don give a shit time, victory is within a mile.
 
KWANI WALIKULAZIMISHA KUKUKOMPESHA,KWANINI UCHUKUE MKOPO WAKATI HUWEZI KULIPA.NA MFUNGWE TU.TULIPOACHA KUCHUKUA MIKOPO TUKAWA TUNAKULA MIKATE DAILY KWA UGUMU WA MAISHA MLITUONA MABOYA NA MIBOOM YENU.
tatizo sio uliamua kuacha makusudi...shida pass mark zako hazikuruhusu kukopesheka....ongea tu ukweli haufungwi.
 
KWANI WALIKULAZIMISHA KUKUKOMPESHA,KWANINI UCHUKUE MKOPO WAKATI HUWEZI KULIPA.NA MFUNGWE TU.TULIPOACHA KUCHUKUA MIKOPO TUKAWA TUNAKULA MIKATE DAILY KWA UGUMU WA MAISHA MLITUONA MABOYA NA MIBOOM YENU.
Uliacha mkopo au ilikuwa sifa hazitoshi za kukopesheka hukuwa nazo? Funguka mkuu.
 
Toka majuzi Bodi ya Mikopo inanitafuta sijalipa mkopo walionipa pale IFM 2008-2011,wanasema nilipe mkopo na mimi sina kazi....naunga unga tu.Haijakaa sawa leo tumekimbizwa maskani na Mkuu wa Mkoa...anasema atatufata mpaka geto.Tumekalia kukosoa chama chake tu,tena hilo jiwe la msingi aliloweka T.Lissu atalivunja.Pale maskani tunafanyiaga udalali na Kubet-beti kwenye mitandao hataki kutuona TUKALIME.
Lipa pesa we
 
Mi ntawalipa tu hakuna namna! Ila dah nakahurumia ka mshahara kangu ka ualimu, maana katabaki kadogo!! Ila namshukuru mkuu wetu mwema wa Dar es salaam mh, makonda kwa kutusafirisha bweleleee, kwenye madaradara!
Si kawa RC mwombeni atubembelezee kwa mama ntilie tuwe tunakula bure msosi wa mchana tuwapo mashuleni, si tunapenda vya bwelele?
 
KWANI WALIKULAZIMISHA KUKUKOMPESHA,KWANINI UCHUKUE MKOPO WAKATI HUWEZI KULIPA.NA MFUNGWE TU.TULIPOACHA KUCHUKUA MIKOPO TUKAWA TUNAKULA MIKATE DAILY KWA UGUMU WA MAISHA MLITUONA MABOYA NA MIBOOM YENU.


Deni halifungi mkuu wewe ulikuwa huna vigezo vya mkopo umepata dv3yako alafu unasema uliacha kuomba mkopo pumbaf
 
Gpa
Hivi betting ndo uliona inalipa? Yaani na kusoma yote IFM, kweli akili yako ikakwambia kwamba kama huna ajira best way ni betting? Yaonekana una GPA ya 1.8 si Bure. Ni hayo tu.
But Don give a shit time, victory is within a mile.


dada GPA mwisho lecture room mtaani hamna GPA mbona kikwete ana gpa ndogo akamshinda lipumba.mwenye.GPA kubwa wakat wanagombea urais?alafu gpa zinaanzia2.0hizo za1.something zipo vyuo gani?
 
Walituahidi ajira kwenye viwanda sasa imekuwa kulima? Ccm punguzeni uongo.
Nitoke ifm halafu likalime haiingii akilini.
 
Mi ntawalipa tu hakuna namna! Ila dah nakahurumia ka mshahara kangu ka ualimu, maana katabaki kadogo!! Ila namshukuru mkuu wetu mwema wa Dar es salaam mh, makonda kwa kutusafirisha bweleleee, kwenye madaradara!
Kama Mwalimu ndo wewe hata kuandika vizuri hujui fani imevamiwa duh,eti DARADARA
 
Gpa



dada GPA mwisho lecture room mtaani hamna GPA mbona kikwete ana gpa ndogo akamshinda lipumba.mwenye.GPA kubwa wakat wanagombea urais?alafu gpa zinaanzia2.0hizo za1.something zipo vyuo gani?
Tatizo, umekariri, udsm GPA ya mwisho ni 1.8,
Pia kuwa na GPA kubwa siku maanisha high probability of being employed la hasha!! Nilimaanisha, mtoa uzi kama betting games ameona ni something person can earn living, basi uwezo wake wa kufikiri ni mdogo, kama ni hivyo basi hata darasani atakuwa na GPA ndogo.
Froth, foam you got the point.
 
Tatizo, umekariri, udsm GPA ya mwisho ni 1.8,
Pia kuwa na GPA kubwa siku maanisha high probability of being employed la hasha!! Nilimaanisha, mtoa uzi kama betting games ameona ni something person can earn living, basi uwezo wake wa kufikiri ni mdogo, kama ni hivyo basi hata darasani atakuwa na GPA ndogo.
Froth, foam you got the point.



Maaana yako halisi wenye gpa ndogo.ndio.failures in life but bare in mind that most.world billioners are school drop.outs.hata maana ya gpa hawajui
 
Maaana yako halisi wenye gpa ndogo.ndio.failures in life but bare in mind that most.world billioners are school drop.outs.hata maana ya gpa hawajui
Hahaha.... But only in western nations, but if ur within Tanzania, continue to believe dropout will become millionaires.
At the end of the day you will find me guilty.
 
Hahaha.... But only in western nations, but if ur within Tanzania, continue to believe dropout will become millionaires.
At the end of the day you will find me guilty.

No.even Tanzania its possible mfano mmoja ni Said Salim Bakhresa tz is not differwnt from the rest of the maisha sio GPA hata.wenye 3.8Wapo kibao mitaani mbona
 
kipindi cha maandamano mlikua mnaimba tunataka pesa yetu, kalipe tu hyo pesa
 
Back
Top Bottom