Natafutwa na HESLB na Mkuu wa Mkoa

Natafutwa na HESLB na Mkuu wa Mkoa

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,249
Reaction score
138,786
Toka majuzi Bodi ya Mikopo inanitafuta sijalipa mkopo walionipa pale IFM 2008-2011,wanasema nilipe mkopo na mimi sina kazi....naunga unga tu.Haijakaa sawa leo tumekimbizwa maskani na Mkuu wa Mkoa...anasema atatufata mpaka geto.Tumekalia kukosoa chama chake tu,tena hilo jiwe la msingi aliloweka T.Lissu atalivunja.Pale maskani tunafanyiaga udalali na Kubet-beti kwenye mitandao hataki kutuona TUKALIME.
 
Ukiataa msaada unaopewa wa kuweza kujikwamua Jiandae kupigwa ndoa na Wenye kazi.
 
Mi ntawalipa tu hakuna namna! Ila dah nakahurumia ka mshahara kangu ka ualimu, maana katabaki kadogo!! Ila namshukuru mkuu wetu mwema wa Dar es salaam mh, makonda kwa kutusafirisha bweleleee, kwenye madaradara!
 
Toka majuzi Bodi ya Mikopo inanitafuta sijalipa mkopo walionipa pale IFM 2008-2011,wanasema nilipe mkopo na mimi sina kazi....naunga unga tu.Haijakaa sawa leo tumekimbizwa maskani na Mkuu wa Mkoa...anasema atatufata mpaka geto.Tumekalia kukosoa chama chake tu,tena hilo jiwe la msingi aliloweka T.Lissu atalivunja.Pale maskani tunafanyiaga udalali na Kubet-beti kwenye mitandao hataki kutuona TUKALIME.
KWANI WALIKULAZIMISHA KUKUKOMPESHA,KWANINI UCHUKUE MKOPO WAKATI HUWEZI KULIPA.NA MFUNGWE TU.TULIPOACHA KUCHUKUA MIKOPO TUKAWA TUNAKULA MIKATE DAILY KWA UGUMU WA MAISHA MLITUONA MABOYA NA MIBOOM YENU.
 
Toka majuzi Bodi ya Mikopo inanitafuta sijalipa mkopo walionipa pale IFM 2008-2011,wanasema nilipe mkopo na mimi sina kazi....naunga unga tu.Haijakaa sawa leo tumekimbizwa maskani na Mkuu wa Mkoa...anasema atatufata mpaka geto.Tumekalia kukosoa chama chake tu,tena hilo jiwe la msingi aliloweka T.Lissu atalivunja.Pale maskani tunafanyiaga udalali na Kubet-beti kwenye mitandao hataki kutuona TUKALIME.

Kama unapata pesa ya kamali ya kulipia pool table kila siku unakosa vipi nauli ya kurudi kijiji kwenu kwenda kulima mahindi, viazi, mihogo, mtama, magimbi, viazi vikuu, ulezi, maharage, karanga, ulezi, alizeti, kahawa, pamba, ndizi, mbaazi au kurudi kijijini kufuga kuku, mbuzi, bata, nguruwe, nk?

Ewe kijana acha kudanganywa kilimo ndilo suluhisho la kila kitu.
 
Kama unapata pesa ya kamali ya kulipia pool table kila siku unakosa vipi nauli ya kurudi kijiji kwenu kwenda kulima mahindi, viazi, mihogo, mtama, magimbi, viazi vikuu, ulezi, maharage, karanga, ulezi, alizeti, kahawa, pamba, ndizi, mbaazi au kurudi kijijini kufuga kuku, mbuzi, bata, nguruwe, nk?

Ewe kijana acha kudanganywa kilimo ndilo suluhisho la kila kitu.
Sio wote wenye mashamba vijijini!! Wengine wamezaliwa hapahapa kwa makonda!!
 
Wastaafu wanapewa ukuu wa mikoa sisi toka vyuoni tuende wapi
hao wastaafu ni wastaafu wa udr. au Ualimu?? Kama ni Usalama ni sawa sawa kuweka nafasi za ukuu wa mikoa.
 
Sio wote wenye mashamba vijijini!! Wengine wamezaliwa hapahapa kwa makonda!!

Penye nia pana njia, wakiyahitaji wanapata sema tu wamezoea deko watoto wa maghorofani hata kushika fyekeo tu shida sijui jembe itakuwaje
 
Aliahidi atawajengea viwanda mpate ajira na kuwapa mikopo mfanye biashara. Naona viwanda na mikopo ndio hiyo endelea kufurahia matunda ya hapa kaz tu.
 
Timsifu y
Toka majuzi Bodi ya Mikopo inanitafuta sijalipa mkopo walionipa pale IFM 2008-2011,wanasema nilipe mkopo na mimi sina kazi....naunga unga tu.Haijakaa sawa leo tumekimbizwa maskani na Mkuu wa Mkoa...anasema atatufata mpaka geto.Tumekalia kukosoa chama chake tu,tena hilo jiwe la msingi aliloweka T.Lissu atalivunja.Pale maskani tunafanyiaga udalali na Kubet-beti kwenye mitandao hataki kutuona TUKALIME.
Tumsifu Yesu kristu...
 
Nimependa kuwa umeanza kutafakari maisha yako, jipe muda utajitambua tu. Pia hautataka kukaa na kukumbukia kufanya uliyoyaandika bali kukimbilia kwa Mh. Raisi kumshukuru.
 
Back
Top Bottom