deadline ya nini, kwani sijui lini nitampaka, mi natafuta mpaka nitakapo mpata ndio deadline
Ndio nawasubiria wajitokeze
Mbona unanitisha ndugu,
"sikutishi ndugu bali kwa KE wa jf hivyo vitu ndo first mapenzi baadaye
UsijaliBora wakae tu ndugu
washakusikia mpendwa!
Unamiliki niNi hadi sasa?
bastola tu na lisasi zake
Wanawake wote ni sawa tu akuna tofauti, kwanini niweke vigezo !