Mwazange
JF-Expert Member
- Nov 16, 2007
- 1,056
- 81
Wazee nimerambazarambaza sana nikitafuta webdesign software lakini naona kizungumkuti tu, hujui ipi ni ipi. Naombeni ushauri ipi bomba iliyopo kwenye market today ....Nataka ambayo itakuwa na vikorombwezo vya kila aina.
haya napokea ushauri.....moja...mbili.....tatu....anza.
haya napokea ushauri.....moja...mbili.....tatu....anza.