Natafuta wasafirishaji wa mizigo

Natafuta wasafirishaji wa mizigo

Joined
Apr 1, 2021
Posts
57
Reaction score
51
Hello wakuu habari zenu
Natafuta wasafirishaji wa mizigo wenye uhakika na kazi kama ifuatavyo;
1.Kutoka bandarini kwenda Congo(hii ni tender ya mwaka mzima)
2.Kusafirisha mazao kutoka kusini mwa Tanzania kwenda bandarini(dar)
Kwa yoyote mwenye mawasiliano namuomba pm tujadili pia ni kazi ambazo ninazo tayari.
asante.
 
Hello wakuu habari zenu
Natafuta wasafirishaji wa mizigo wenye uhakika na kazi kama ifuatavyo;
1.Kutoka bandarini kwenda Congo(hii ni tender ya mwaka mzima)
2.Kusafirisha mazao kutoka kusini mwa Tanzania kwenda bandarini(dar)
Kwa yoyote mwenye mawasiliano namuomba pm tujadili pia ni kazi ambazo ninazo tayari.
asante.

Wasiliana nasi 0757636202
Lades truck
Na mikoani pia tuna safilisha mizigo
Cargo truck
 
Back
Top Bottom