Dominic Myumbilwa
Senior Member
- Jan 5, 2017
- 190
- 93
Naomba Kuungwa Humo 0717 624 100Natafuta wanafunzi wanaosoma chuo kikuu cha dodoma kozi ya environmental engineering especially wale wa mwaka wa kwanza
Nataka niwaunganishe na wale wanaosoma chuo cha ardhi kozi hiyo hiyo ya environmental engineering maana hii kozi inafundishwa vyuo vikuu viwili pekee
Hivyo basi kwa wale wa udom dondosha namba yako hapa nikuunge group la wasap la environmental engineers la Aru $Udom