Avittrust
Member
- Nov 17, 2017
- 22
- 6
Wakuu habarini mimi naitwa Avittrust niko hapa jijini tanga nina kituo cha kufundisha tution kama kichwa kinavoelezea hapo natafuta wanafunzi niwafundishe tution...katika kituo changu ...haswa masom ya sayanc naamanisha (fizikia,kemia,bayolojia ) na hata hesabu kuanzia kidat cha kwanza hadi cha sita
Nina uwez mkubwa wa kufundisha na uzoefu pia..na bei ni nafuu kabisa
Tafadhali kwa yeyote anaehitaj naomba tuwasiliane kupitia namba hii
+255 0716-2095-07
Tanzania ya viwanda haiwezi kuja bila ya kuwa na wataalam.
Nina uwez mkubwa wa kufundisha na uzoefu pia..na bei ni nafuu kabisa
Tafadhali kwa yeyote anaehitaj naomba tuwasiliane kupitia namba hii
+255 0716-2095-07
Tanzania ya viwanda haiwezi kuja bila ya kuwa na wataalam.
