Wissman JF-Expert Member Joined Dec 12, 2014 Posts 1,034 Reaction score 1,319 Sep 27, 2018 #21 Fanya muziki wa taratibu, na unaolenga maisha ya watu na nguvu ya Mungu kwenye maisha yao. Muziku wa kelele na staili hiyo ni wa miaka 10 nyumaa
Fanya muziki wa taratibu, na unaolenga maisha ya watu na nguvu ya Mungu kwenye maisha yao. Muziku wa kelele na staili hiyo ni wa miaka 10 nyumaa
farazuu JF-Expert Member Joined Mar 28, 2018 Posts 382 Reaction score 515 Sep 27, 2018 #22 Bongo flava wanafanyaje?Toa single moja moja tafuta matamasha mengi acheni kupenda mteremko..
Madam Lucky Member Joined Sep 22, 2018 Posts 44 Reaction score 36 Sep 28, 2018 Thread starter #23 walitola said: Usikate tamaa piga moyo konde mungu yupo pamoja nawe kutangaza injili ya bwana si kazi raisi pambana tu ipo siku Click to expand... Ni kwel, ubarikiwe sana
walitola said: Usikate tamaa piga moyo konde mungu yupo pamoja nawe kutangaza injili ya bwana si kazi raisi pambana tu ipo siku Click to expand... Ni kwel, ubarikiwe sana
Madam Lucky Member Joined Sep 22, 2018 Posts 44 Reaction score 36 Sep 28, 2018 Thread starter #24 Amen