Natafuta vumbi la Kongo

Natafuta vumbi la Kongo

zibueni kwanza mirija ya mashine, paip inajaa uchafu....afu kama hamjui hizo taka taka congo ni 500 tu...kuna maboya nilikuwa nawaletea hina afu kesho yake wanaisifu, mambo mengine haya
Hakubadilika rangi kunako!
 
Mbona dau kubwa sana. Kwa hela hiyo utapata gunia zima la vumbi
 
hahahaaa duuh hapa nikawa hata sielew jamaa anahiyaji ya nini hyo vumbi......kumbe ni dawa ya kuboost.....

Sio siri kuna watu mnamateso
 
Back
Top Bottom