Natafuta vijana wa kufyatua matofali

Natafuta vijana wa kufyatua matofali

Majasho

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2009
Posts
413
Reaction score
221
Salaam kwa wote,
Natafuta vijana wawili au watatu wa kufyetua matofali. Matofali sio ya kuuza. Kufyetua matofali 60-100 kwa siku. Malipo tutapatana kwa kila tofali. Sehemu ni Mbezi Salasala.
 
duh!!! hadi wafyatuaji matofali wanatafutwa jf????? hatareeeee
 
Mkuu nitakuchecki soon kwenye namba yako
 
Mimi na mke wangu ni wazoefu katika idara hiyo mkuu.. tafadhari usimpe tender mtu mwingine ila mimi na Mungu atakubariki
 
kweli vijana wanachagua kazi,
Huu uzi tangu mchana hata pg 1 haujajaa
Ila ingekuwa imetangazwa kazi nssf, pspf au lapf hapa

Ungeona vijana wanavyojitoa ufahamu ooooh bro nimekaa kitaa mwaka wa 5 sasa
Mwingine broo sina kazi na ninafamlai ipo kijijini inanitegemea
 
Hujasema ni tofali za namna gani, za udongo, za cement, au kama zile wanazotummia nhc
 
vipi kaka umepata wakutosha wafyatuji????? au niko tayari na mimi nicheki kupitia 0685816103
 
Back
Top Bottom