benwise
Member
- Oct 24, 2015
- 99
- 75
Salamu wakuu,mimi ni kijana wa kiume(21)ninaishi mkoani Iringa.namshukuru MUNGU amenijaalia kipaji cha mziki na mpaka hapa nilipo naweza kutumia vyombo vya mziki (kinanda na magitaa aina zote)na pia nina uwezo wa kuandaa muziki kwa program za kompyuta(fl studio,cubase na adobe audition).Ndoto zangu ni kufungua studio yangu ya kurekodi muziki japo kuwa nimefanikiwa kwa kiasi kidogo sana kununua vifaa vichache .kilichonileta kwenu nikuomba kwa yeyote atakayeguswa kunichangia ili nikamilishe,kwa sababu vifaa ni bei ghali na kwa sasa sina uwezo wa kumudu kununua vyote.Lakini naomba nisihisiwe na utapeli wowote ule kwani nipo serius nahitaji msaada wa hali na mali.Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote watakaonisaidia
namba yangu ni-0673501746
_________________
Jamani wakuu kutokana na mahitaji niliyonayo na jinsi nilivyokwama nipo tayari hata kufanya kazi kwa mtu yeyote ili nifanikishe malengo hayo.hivyo kama una kazi na unaitaji wa kuifanya mimi nipo tayari kuifanya.
namba yangu ni-0673501746
_________________
Jamani wakuu kutokana na mahitaji niliyonayo na jinsi nilivyokwama nipo tayari hata kufanya kazi kwa mtu yeyote ili nifanikishe malengo hayo.hivyo kama una kazi na unaitaji wa kuifanya mimi nipo tayari kuifanya.