Natafuta VETA inayofundisha Ubunge

Natafuta VETA inayofundisha Ubunge

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
800
Reaction score
1,301
Baada ya uongozi mzima wa nchi kuamini kwamba VETA ndo suluhisho la matatizo ya nchi, ningependa kujaribu kutafuta ajira kule Bungeni. Bungeni bado tuna watu wanajua kusoma na kuandika tu! Hata kuhesabu ni shida. Nimeona ni sehemu nzuri ya kwenda.

Kwa imani ya viongozui wakuu wa nchi ndani ya CCM, sasa nami natafuta VETA ya Ubunge. Iko wapi wa-TZ wenzangu?
 
Waziri kasimu nae aende Veta pamoja na wanawe ili waache kukimbilia ajira za serikali na kung'ang'ania ubunge miaka nenda Rudi!!
 
mimi natafuta VETA inayofundisha kozi ya ccm kuhusu kukosa akili
 
Baada ya uongozi mzima wa nchi kuamini kwamba VETA ndo suluhisho la matatizo ya nchi, ningependa kujaribu kutafuta ajira kule Bungeni. Bungeni bado tuna watu wanajua kusoma na kuandika tu! Hata kuhesabu ni shida. Nimeona ni sehemu nzuri ya kwenda.

Kwa imani ya viongozui wakuu wa nchi ndani ya CCM, sasa nami natafuta VETA ya Ubunge. Iko wapi wa-TZ wenzangu?
Usihangaike na VETA, Mbona kuna watu walifeli form 4, wakasoma hapa na pale leo wanaongoza nchi?
 
Karibu mkuu, hata huyu mkenya nili mfunza Mimi.
FB_IMG_17416345650540046.jpg
 
Baada ya uongozi mzima wa nchi kuamini kwamba VETA ndo suluhisho la matatizo ya nchi, ningependa kujaribu kutafuta ajira kule Bungeni. Bungeni bado tuna watu wanajua kusoma na kuandika tu! Hata kuhesabu ni shida. Nimeona ni sehemu nzuri ya kwenda.

Kwa imani ya viongozui wakuu wa nchi ndani ya CCM, sasa nami natafuta VETA ya Ubunge. Iko wapi wa-TZ wenzangu?
Si Uwaziri?
 
mimi natafuta VETA inayofundisha kozi ya ccm kuhusu kukosa akili
Kweli. Mm natafuta VETA inayo wafundisha ccm namna ya kuiba KURA
MGODI WA NAMUNGO NI MALI BINAFSI YA MAJALIWA. ALIUPATAJE???
 
  • Thanks
Reactions: Fbn
Baada ya uongozi mzima wa nchi kuamini kwamba VETA ndo suluhisho la matatizo ya nchi, ningependa kujaribu kutafuta ajira kule Bungeni. Bungeni bado tuna watu wanajua kusoma na kuandika tu! Hata kuhesabu ni shida. Nimeona ni sehemu nzuri ya kwenda.

Kwa imani ya viongozui wakuu wa nchi ndani ya CCM, sasa nami natafuta VETA ya Ubunge. Iko wapi wa-TZ wenzangu?
😂😂😂 Ili kulisaidia taifa au sio
 
Baada ya uongozi mzima wa nchi kuamini kwamba VETA ndo suluhisho la matatizo ya nchi, ningependa kujaribu kutafuta ajira kule Bungeni. Bungeni bado tuna watu wanajua kusoma na kuandika tu! Hata kuhesabu ni shida. Nimeona ni sehemu nzuri ya kwenda.

Kwa imani ya viongozui wakuu wa nchi ndani ya CCM, sasa nami natafuta VETA ya Ubunge. Iko wapi wa-TZ wenzangu?
Gentleman,
VETA ya ubunge iko jimboni kwa wananchi, wajumbe watakunyorosha vizuri kwanza na saa zingine wanaweza kukupitisha ili wananchi wapiga kura, wakushikishe adabu vizuri kwenye sanduku la kura, ndio uwe na uzoefu zaidi wa kushindwa na ujue kwamba hakuna kitu lelemama dunia hii 🐒
 
Back
Top Bottom