Mimi ni upcoming photographer hivyo bas nahitaji ninunue camera ...nahitaji used canon nina laki saba nanusu tafathali kama unamjua mtu anaetaka kuuza naomba unitaarifu
Mimi ni upcoming photographer hivyo bas nahitaji ninunue camera ...nahitaji used canon nina laki saba nanusu tafathali kama unamjua mtu anaetaka kuuza naomba unitaarifu
Haya manunuzi ya eBay yanafanyika vipi? Mbona wanataka ujaze taarifa za benk, lakini ukienda bank ukiwaeleza wanakwambia hawanahuduma za malipo ya mtandaoni. Mfano EXIM BANK, kuna njia mbadala?
Haya manunuzi ya eBay yanafanyika vipi? Mbona wanataka ujaze taarifa za benk, lakini ukienda bank ukiwaeleza wanakwambia hawanahuduma za malipo ya mtandaoni. Mfano EXIM BANK, kuna njia mbadala?
Kaka CRDB na Standard Chartered wako vizuri sana kwenye hili suala la manunuzi kwa njia ya mtandao!
Unachotakiwa kufanya ni kufungua account na ku-apply ili waweze kuruhusu card yako kufanya manunuzi!
Kaka CRDB na Standard Chartered wako vizuri sana kwenye hili suala la manunuzi kwa njia ya mtandao!
Unachotakiwa kufanya ni kufungua account na ku-apply ili waweze kuruhusu card yako kufanya manunuzi!
Haya manunuzi ya eBay yanafanyika vipi? Mbona wanataka ujaze taarifa za benk, lakini ukienda bank ukiwaeleza wanakwambia hawanahuduma za malipo ya mtandaoni. Mfano EXIM BANK, kuna njia mbadala?