Natafuta underground wacheza filamu

Natafuta underground wacheza filamu

nyaggad

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
1,160
Reaction score
694
Habari!

Husika na kichwa cha habari hapo juu, natafuta vijana wenye nia ya zati ya kutafuta pesa na kutoka kimaisha na wenye kipaji cha kuigiza filamu, karibu katika kikundi chetu uweze kuonyesha kipaji chako, elimu kuanzia form four kuendelea mbele!
 
Kuna salary mwisho wa mwezi au posho kila baada ya kucheza scene!!?
 
Kikundi cha nn? unatafuta artists wa kujiunga na kikundi au wa kufanya film? kigezo kwa leval ya form four cha nn? hujui kuna artists wazuri wapo uswahilini? bora ungesema artist awe mzungumzaji mzuri wa Kiingereza.
 
Sema ulipo mtu yuko kigoma aje mtwara au lindi toa heading iliyo wazi
 
Sema ulipo mtu yuko kigoma aje mtwara au lindi toa heading iliyo wazi

Ucjali mkuu,hii ni fursa inayo wahusu vijana waliopo Daressalaam kwa kipindi hiki!
 
Habari,husika na kichwa cha habari hapo juu,natafuta vijana wenye nia ya zati ya kutafuta pesa na kutoka kimaisha na wenye kipaji cha kuigiza filamu,karibu katika kikundi chetu uweze kuonyesha kipaji chako,elimu kuanzia form four kuendelea mbele!

Group name: ?
location: ?
physical address: ?
contact: ?
harafu talents aitegemei education sawa ita ata std seven ili mradi awe na kipaji
 
kama upo serious mimi natokea dar ila kwasasa nipo zanzibar napiga kazi na jamaa wa kimarekani ambao ni proffessional kwa movie acting.naweza kufanya link na wewe ili tuweze fanya kitu maana laziwa uwe na exposure ya kutosha ili uwe very competent kwenye ulimwengu wa movies internationally or anyone interested to make business with me check me pmetthew@yahoo.com.tunamaidea mengi ambayo huwez yapata bongo movies.
 
Back
Top Bottom