Natafuta ukumbi wa Harusi -dar

Labda kwa kifupi tuu, Mimi na mwenzangu hatufanyi vikao na hatuna Kamati, hicho ni kiasi kidogo tulichojiwekea wenyewe ili kufanikisha swala letu, hatuna watu wa kutuwezesha hivyo, na ungesoma vizuri juu nimesema ni joint wedding inamaana hata yeye anaweza kufatilia mtu wa Mapambo wakati Mimi nafatilia ukumbi.
Nia yetu ni kuwakusanya ndugu jamaa na marafiki zetu kukaa nao pamoja, lakini kila tunayemuomba msaada ya wedding venue wanataja kumbi zinazoingiza watu wachache mfano Maratha ya Msimbazi inapokea watu 350 tuu, sisi tutakuwa zaidi ya 450

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende Tembon garden mbezi kimara.utapenda na roho yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…