Inategemea unataka receiver gani.
Mie nauza aina mbali mbali za receivers za FTA (ambazo kwa maelezo yako ndizo unazohitaji). Zipo Strong 4930 (laki moja na kumi), Mediacom 940+ (laki moja), Ibox (laki moja na kumi). Hizo zote ni High Definition, zina blind Scan na zinaapokea BISS keys (kama wewe ni mtaalamu wa mambo hayo. Kama kuna swali niulize. Nipo Dar.