MamaParoko
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 463
- 60
Kuna sehemu pale moroco barabara ya kwenda nyumbani kwa Kikwete unaweza kupata tractor imara na durable za John Deere pamoja na implements.
Mkuu naamini hili nilishajibu hapo juu kuhusu geographic location.... in fact i could even go for 2 if the price is rightMkuu nimekupata!!!
Tafadhali, baada ya kufuatilia kwa makini hoja hii, kwanza ningekushauri utoe unyambulisho wako kama ifuatavyo:-
- Angalao toa aina mbili za trecta unazohitaji kutokana na mazingira / maeneo / mikoa unayoenda ku-invest, hii itasaidia kuja utakutana na udongo wa aina gani? Spares nazo zina - matter sana hususani utakapo kuwa upo busy, spares sometimes huwa zinasumbua sana.
Tupo wote, chacharika kabla ya mvua hazijawa nyingi
- Kutokana na uzoefu wangu, baadhi ya Models ambazo piga ua, utapata spares aina yoyote kwa ukaribu zaidi hata kama upo Kiteto, Mbarali au Kilindi, hapo hujagusia Moro na Central Zone, mwanangu kwanza ni Massey Ferguson, Ford, John deer na International. Zote hizi unaweza kupata Used tractor nzuri kutoka U.K / Holland. Spares / Accessories zake zipo za kumwaga.
- Kuwa specific na HP na hii itazingatia in long run unataka kufanyia nini na hiyo tractor, pia inategem,ea hiyo tractor ifanya shughuli zipo wakati haipo shambani kwani tractor unaweza fanya mambo yote hata wakati wa ujenzi.
- Ningekushauri pia angalia uwezekana wa kuagiza moja kwa moja kutoka nje, U.K sio mbali, within siku 28 unakuwa na Tractor yako, hizi za hapo mjini elewa kabisa kuwa lazima kuna hela fulani ya mtu wa kati au hata kama ni mtu pekee kaa-giza kutoka nj lazima utamwekea faida yake hapo, matractor siku hizi hata ukitembelea website ya TRA, kuingiza ni bure. Ka kuanzia ukisubiri yako unaweza kukodisha yako na kuanz kazi zako kabila ya mvua za huko Kilindi / Moro hazijaanza.
- Kama ungependela matrector kutoka u.k, tembelea www.farmerstrader.com au www.fwi.com then ukisha chagua tractor yako tafuta mtu aliyopo U.K akakuangalizie hilo tractor na kukusaidia kulisafirisha, of course hapo utampa / utampooza na kitu kidogo kwani mafuta u.k ni ghali kidogo na si unjua tena mpaka mtu aache shift yake kwenda kukufuatilia tractor yako North, i.e Yorkshire, kuna ka umbali kaka. Ni - Pm nikuunganishe kama utapenda hii Idea, nina mtu yupo U.K.
- Umesema unataka kununu hapo hapo Dar? Hjasema Budget line yako ni kiasi gani? Upo tayari kutoa kiasi gani kwa used tractor i.e Mf 100 - 600 Series? Nikiwa na maana kuanzia MF (Massey Ferguson) 165, 168 175, 240, 290. 565, 590 n.k hizi ni baadhi tu.
- Mkuu mashamba umepata wapi? Tupeane Desa / Simbi mkuu wangu??
- Matrector ya China, india, Paksatani sio imara sana kama ya U.K / Holland
Kuna jamaa anaenda Malawi anakuja na Massey nzuri na bei yake huwa around 9-12 Million.yeye ni fundi huwa anaenda kununua spares na off-farm tractors.anapatikana mpakani mwa malawi na Tz.
Miezi 4 iliyopita alikuwa na Tractor zuri.hali yangu haikuruhusu sikuweza kulichukua.
Jamaa anaitwa Chawinga ni maarufu sana pale border na anaweza kudeliver to your location
Kama una muda mtwangie huyu 0713993006 au 0757420211 ana trector kutok Uk pale Dar anaweza kukusaidia.
Trector mpya ya massay kutoka uk.. Contact 0752039770
Hp ngapi?Kwa wale wakulima wenye ekari za kutosha maeneo kuanzia Mkuranga, Mwarusembe, Kimanzichana ya Mkiu, Mkamba nk hadi maeneo ya Ikwiriri na Rufiji.... mkombozi kapatikana sasa. Ile hofu ya kulima kwa muda muafaka imepata jawabu!!
Tumeleta trekta linalofaa kupambana kwa kazi maeneo hayo, hili FORD 7500.
Bei zetu ni nzuri zipo baina ya Tshs. 40,000/= hadi 60,000/= kulingana na umbali.
Kwa mawasiliano:
1. 0787519910 na 0767519910... Tutakujibu kwa sms na whatsapp!
2. Email: moddyguyz@yahoo.com
Sisi tupo Kimanzichana ya Mkwechembe; kama kilometa tatu kutoka Kimanzichana getini....
Msaada wa namba zake tafadhaliKuna jamaa anaenda Malawi anakuja na Massey nzuri na bei yake huwa around 9-12 Million.yeye ni fundi huwa anaenda kununua spares na off-farm tractors.anapatikana mpakani mwa malawi na Tz.
Miezi 4 iliyopita alikuwa na Tractor zuri.hali yangu haikuruhusu sikuweza kulichukua.
Jamaa anaitwa Chawinga ni maarufu sana pale border na anaweza kudeliver to your location