Natafuta tractor used 4WD

Natafuta tractor used 4WD

Boutafrica

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
1,258
Reaction score
2,736
Natafuta tractor iliyotumika ambayo inatembea na ipo katika hali nzuri,.... Nahitaji tractor tu bila accessories zake.

Lakini je, ninaweza kununua tractor kwa kuunga unga, yan ninunue mkweche kisha nikae da kuutafutia engine mpya, gear box mpya kisha nikaliunga?
 
Weka pesa uliyo nayo unaweza kushauriwa maana utapigwa.

Weka pesa watu wakushauri unaweza kujikuta umenunua vitu vingi vizuri na matrekta madogo ambayo mapya na zana nyingi.
 
Weka pesa uliyo nayo unaweza kushauriwa maana utapigwa.

Weka pesa watu wakushauri unaweza kujikuta umenunua vitu vingi vizuri na matrekta madogo ambayo mapya na zana nyingi.
Nina mil 10 mkuu
 
Wabongo bana kwa kupenda tu na kuendekeza anasa. Trekta ya nini wakati kuna jembe la mkono? Mababu zetu mbona hawakutumia trekta walikuwa wanatumia jembe na walilima na kuvuna na walikuwa na furaha tu.

Acheni anasa kwenye kilimo nyie.

adriz de Uumbwaz
 
Me nahitaji kati ya massey au fiat inayotembea na iko ktk hali nzuri. Nina mil 10
mkuu hapo nikushauri m 10 hapo bdo sana mana itakugharimu sana.services inaweza kula kama 5m+.cha kukushauri tafuta 18-20m utapata swaraji 744 ambayo imetumika mwaka 1-2 bdo nzuri sana...
 
Me nahitaji kati ya massey au fiat inayotembea na iko ktk hali nzuri. Nina mil 10
mkuu hapo nikushauri m 10 hapo bdo sana mana itakugharimu sana.services inaweza kula kama 5m+.cha kukushauri tafuta 18-20m utapata swaraji 744 ambayo imetumika mwaka 1-2 bdo nzuri sana...
 
Nivizuri kama ungefanya utafiti wakutembelea wenye wanazofanya hizo kazi kwamaana ya wale madereva wakakupa maoni yao ya maisha ipi ni mzuri kwa shuhuli yako na bei yake ni sh ngapi...
 
Shukran kwa ushauri mkuu
mkuu hapo nikushauri m 10 hapo bdo sana mana itakugharimu sana.services inaweza kula kama 5m+.cha kukushauri tafuta 18-20m utapata swaraji 744 ambayo imetumika mwaka 1-2 bdo nzuri sana...
Mkuu nikipokea mafao yangu nikuchek uniongoze kwa mengi kati ya machache nijuayo kuhusu tractor
 
nashukuru mkuu haina noma kalibu mana hap home kuna swaraj 744 nyota 1 afu 744 nyota 4 hii stering yake ni ya upepo.chaguz kwako mkuu
Mkuu samahani ,kama unaweza kufafanua kidogo hapo unaposema swaraj 744 nyota 1 na nyota 4 inamaanisha nini?
Pili,hapo kwenye staring ya upepo ndo ile kwamb staring unazungusha kwa kidole?
 
Umechelewa kidogo, nimeuza Case 4W kwa bei ya kutupa 25m. Haikuwa na shida yeyote
 
Pia kuna mashirika,viwanda na taasisi flan kwa baadhi ya mikoa huwa naona wanamiliki matractor,hv nayapataje yale nikitaka waniuzie used😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom