Nimekuelewaa mkuuDepression mara nyingi inatokana na wasi wasi wa itakuwaje..?
Nahiyo ni kwasababu tu watu wengi hawajui maana ya maisha!
Lakini pia watu wengi wanaishi kwa kujilinganisha na watu wengine (ushindani)...
If you want to be happy,kwanza kubali kua free mind na pia fanya yale unayoona yanakupa furaha wewe.
Ukifanya hivo depression utakua unazisoma kwenye mitandao kama hivi..
Acha matani wewetiba kwa ww wa kike ni kupata muhogo wa jang'ombe, haha mbona dipression utaiskia kwa jirani tu..!
Samahani mkuu cognitive behavioural therapy NDO nini naomba unieleweshe???You need to see a psychiatrist akusaidie.
Kuna vitu kama anti-depressants , lakini pia kuna therapies unaweza ukapewa na ma psychiatrist kama CBT (cognitive behavioural therapy ikakussaidia)
Good ushauri mzuri mkuuPole.
Binafsi nadhani kutumia pills kwaajili yakupunguza aina yoyote ya depression si sahihi.
Kuondokana na depression inabidi ubadilishe lifestyle yako. Na hasahasa vile unavyowaza au kuyafikiria mambo.
Nafahamu si rahisi lakini inawezekana.
Mimi ni raiki practitioner. Nimesaidia watu wangu wakaribu kuepukana na depression.
Nimegundua matatizo ya depression au yale yakiwango cha juu Post Traumatic Stress Disorder ni ngumu kupatia ufumbuzi kwasababu matibabu yake yanahitaji mabadiliko kwenye maisha.
Kuanzia vitu unakula, sehemu unatembelea, watu wako wakaribu na nini unawazia maisha kwa ujumla.
Anza na kula vizuri. Nikisema kula vizuri namaanisha kula matunda na greens tu. Achana na vyakula vya wanyama na vyakula vingi vyakupika. Pia jitahidi kufunga.
Hii itasaidia afya yako. Pia itaimarisha uwezo wako wakujisimamia kwenye mambo mapya.
Ningekuwa mtu wako wakaribu au rafiki ningekusaidia kukuondolea msongo kwa energy healing.
Mimi ni very intuitive. Wakati mwingine I can see the aura ya watu au hata wanyama.
I have healing hands. Mwanzoni nilikuwa sijali sana lakini sana siwezi kupuuza tena kwasababu nimekuwa msaada kwa watu wakaribu.
Mkuu mkuu jaribu kufanya mabadiliko mepesi kama nilivyoainisha hapo juu.
Pia jitahidi kuongeza kipato chako uwe financially free.
Ukiwa hauna kipato kinachoeleweka ni rahisi kutumbukia kwenye over thinking ambayo inasababisha depression in a long run.
Ukitumia pills bila kutibu tatizo kuu soon utajikuta tena kwenye depression.
Pole na kila la kheri kwenye kutafuta suluhisho la tatizo lako.
Naomba inisaidie mimi nahisi pia nina depressionNILIWAHI KUUGUA MAJOR/CLINICAL DEPRESSION KWA MIAKA 8 HADI NIKAWA NAFANYA THERAPY KILA WIKI HOSPITALI BINAFSI. NIKAJA TENA KUUGUA OCD...OBESESSIVE COMPULSORY DISORDER...NI UGONJWA AMBAPO AKILI INAFIKIRIA NON-STOP. VYOTE NIMEPONA NA SIO KWA MSAADA WA MADAWA YA HOSPITALI JAPO YALINISAIDIA KIASI.
NITAFUTE NIKUSAIDIE.
Nami pia nahitaji counselling nitakupataje doctaNi process ya kubadili Mentality...kukusaidia ni hadi kukaa na wewe niku examine, counter-examine na kukusoma psychology na kukufanyia counselling kwa angle zote: dini, jamii, maisha yako etc. So sio ishu ndogo ya kuandika hapa na by the way siwez kupata huo muda
Kama nilivyosema ni therapy mara nyingi katika mfumo wa kuongea na therapist (lakini sio lazima kuna vitabu/kozi etc) ya kubadili mawazo au mtazamo kwa makusudi ni kama kujifunza kupinga mawazo yako mwenyewe ambayo ni negative na hayana uhalisi.Cognitive behavioural therapy NDO nini Mkuu??
download this, ni tiba
MAZOEZI , MAZOEZI ,MAZOEZIKwa wale madaktari bingwa humu (psychologists) na waganga wakuu wa hayo mambo, nimeileta mada kwenu mnisaidie, je mtu anawezaje kupona akiwa ameumwa depression hasa hasa major depression? na kama ni dawa atumie zipi ambazo zita act fast?
Nina recommendations ya natural anti-depressant imefanyiwa tafiti nyingi na pia Hailete utegemezi wa dawa au uteja.Kwa major depression ni anti depressants tu.
Zipo nyingi sana na zengine zinafanya kazi kwa mtu mmoja ila sio kwa mwengine na pia zina side effects nyingi so hakikisha unapata dactari mzuri.
Kama anajiweza kidogo angalia kitu kinaitwa cognitive behavioral therapy, hii ni therapy ya kubalidisha mtazamo wako ni one of the most effective depression treatments, kuna vitabu unaweza kudownload au kununua ambavyo ni kama workbook unafanya mwenyewe au upate actual therapist.
Kwa wale madaktari bingwa humu (psychologists) na waganga wakuu wa hayo mambo, nimeileta mada kwenu mnisaidie, je mtu anawezaje kupona akiwa ameumwa depression hasa hasa major depression? na kama ni dawa atumie zipi ambazo zita act fast?
Naomba unipm Nna shida na weweYes unaweza sema ivo. Maana situmii any sort of pills kunisaidia ku get through the day.
By the way mkuu unaweza ni PM, we could be friends since we have the same history (If you are comfortable)
NI kweli anahitaji upendoYes unaweza sema ivo. Maana situmii any sort of pills kunisaidia ku get through the day.
By the way mkuu unaweza ni PM, we could be friends since we have the same history (If you are comfortable)