Una level gani katika elimu ya muziki, au uliwahi kushiriki vocal tournament yoyote kama bongo star search , club raha leo show au Tusker project fame?
je ni mwalimu gani mtaalamu ya muziki aliwahi kusikiliza sauti yako na kukuambia kuwa una kipaji cha asili cha kuimba ambacho kinahitaji kuendelezwa ? au ni wewe mwenyewe kwa kutwanga mistari kivyako unaamini kuwa una kipaji?