Natafuta sugar dady wa kunilea

Natafuta sugar dady wa kunilea

biashara matangazo, ongeza vionjo kwa kuweka picha ili PM ziwe nyingi!
 
We bidada nahisi hii dunia haikufai, na nataman ulipate hilo li sugar daddy tena lenye vvu va kutosha likupunguzie! hapo hakuna chuo usituzuge labda kama ni chuo cha umalaya!!! SHAME ON YOU!!!
 
kama kuna yeyote anahisi nimemkwaza humu naomba anisamehe!!.

Hujamkwaza mtu mpenz haya ni maisha yako na maamuzi ni yako.......ukiharibu hujamkomoa mtu ni hasara ya nafsi yako na ukifanya vyema pia humridhishi mtu ni salama yako na nafsi yako.......unaonekana PSYCHOLOGICAL hauko sawa.....pole sana mamie......badilika!!!!!!!!
 
njaa mbaya na usiombe ikakaukuta chuo bumu limeisha, afu unaishi kwa showoff...

Hahaha, umenikumbusha enzizile tupo chuo kuna watu jamani walikuwa na maisha ya ajabu!!!Yaani anaigiza maisha ya hali ya juu ili hali ye wa mkate na parachichi hahahaha
 
Hahaha, umenikumbusha enzizile tupo chuo kuna watu jamani walikuwa na maisha ya ajabu!!!Yaani anaigiza maisha ya hali ya juu ili hali ye wa mkate na parachichi hahahaha

kuna dem alikuwa anakeshewa usiku mzima anarudi rum kabeba mkate na blue band he he he
maisha ya showoff vyuoni yanawacost wengi...
 
kuna dem alikuwa anakeshewa usiku mzima anarudi rum kabeba mkate na blue band he he he
maisha ya showoff vyuoni yanawacost wengi...
We ulijuaje kuwa kapewa mkate na blue band tu? Nahisi ni wewe yalikukuta hayo.
 
Dah..! Ndio watoto wetu hawa...!!

Wanataka kungonoka na baba zao..!!

Mmmmnhh..!!
 
We ulijuaje kuwa kapewa mkate na blue band tu? Nahisi ni wewe yalikukuta hayo.

nitaachaje kujua wakati ni rum mate?
akuuuu mi huwa naishi maisha halisi kwanini niishi kwa showoff mwisho wake ndo hivi....
 
Kweli ya Mungu mengi dah....haya endelea bwana tatizo tamaa ndo zinawapelekea huko watoto wa chuo dah.... so sad kisa akupe hela ya bwebwe na usikute mzazi wako amekupa matumizi basic bila shida yeyote....MTAKUFA KA KUKU MSIPO BADILI TABIA.....kaa njia kuu acha michepuko yako dogo tena SOMA KWA BIDII
 
nyie watoto mnaudhi! si mtafute waume na ninyi mtulie? msitukwaze my wife wa wenzenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom