Natafuta soko la vitunguu maji

Natafuta soko la vitunguu maji

concordile 101

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
6,258
Reaction score
14,283
wadau mwaka huu baada ya kusoma michango ya baadhi ya wadau niliamua kujiingiiza kwenye hiki kilimo hapa nakaribia kuvuna naomba ambae anaweza kujua soko zuri la vitunguu anijulishe nimelima mbeya makadilio ni kuvuna gunia kama 110
namba yangu 0762991257
 
wadau mwaka huu baada ya kusoma michango ya baadhi ya wadau niliamua kujiingiiza kwenye hiki kilimo hapa nakaribia kuvuna naomba ambae anaweza kujua soko zuri la vitunguu anijulishe nimelima mbeya makadilio ni kuvuna gunia kama 110
namba yangu 0762991257
Karibu sana Jamvini kaka, Kwa kweli soko la kuridhisha kwa sasa ni ishu kubwa asa ukizingatia ni wengi tumevuna kwa wakati mmoja. Nachoweza kukushauri kama unaweza kupeleka hapo Jirani malawi kama vinaitajika labda utapata hela,
Mateso tunayoyapata wakulima yanachangiwa sana na taasisi husika za serikali kutotilia maanani maudhui dhana na malengo ya taasisi zao. Mfano Tanzania tuna TanTrade hawa kazi yao ni kuwatafutia wakulima wa tanzania masoko ya nje kitu ambacho kingeongeza kipato sana kwa mtanziania na kuingizia serikali mapato. Badala yake wamewaunganishia masoko Wachina na wahindi ambao wanakuja kununua mazao kwetu kwa bei ya chini sana.
 
km uko mbeya mjini mbona kuna wanunuzi wengi tu,kuna wakenya wapo mbeya wananua kwa 32,000 kw gunia.wapo igawa mbeya ila bei ndyo hyo km uko tayari kwa hyo bei nicheki 0752317974..nitakuunganisha nao
 
km uko mbeya mjini mbona kuna wanunuzi wengi tu,kuna wakenya wapo mbeya wananua kwa 32,000 kw gunia.wapo igawa mbeya ila bei ndyo hyo km uko tayari kwa hyo bei nicheki 0752317974..nitakuunganisha nao

Mmh.mbona majanga... gharama yote gunia iuzwe 30000?
 
km uko mbeya mjini mbona kuna wanunuzi wengi tu,kuna wakenya wapo mbeya wananua kwa 32,000 kw gunia.wapo igawa mbeya ila bei ndyo hyo km uko tayari kwa hyo bei nicheki 0752317974..nitakuunganisha nao

bei hiyo gunia la uzito gani?!!!!
 
Kama umeweza kulima vitunguu vingi hivyo naamin hutoshindwa kugharamia gharama za kuvihifadhi ili uuze baadae,cheki mitandaoni post harvest activities on onions pia kuna dawa ya kusplay before harvest ya onions inaongeza shelf life
 
Wakulima wa kitunguu mangola karatu walikuwa wanapeleka wao wenyewe darfur sudan nakuuza kwa dola,wakaonywa na madalali wakenya mmeingilia dili yetu hawakusikia,biashara ikanoga,wakenya wakawafanyizia huko huko darfur kila mtu alirudi na njia yake,hakuna mwenye jibu hela imeenda wapi.wote walitapeliwa.kabla ya hapo wakenya ndyo walikuwa wananunua kitunguu mangola karatu nakupeleka darfur sudan.
 
Gebba2013

Wakenya kiboko chao ni wasomali tuuu

Watz tunaamini ndg zetu lakini jaama hawa ni nomaaa

Vitunguu jubaa ni deal
 
Back
Top Bottom