Natafuta soko la vitunguu maji

Natafuta soko la vitunguu maji

Joined
Mar 28, 2017
Posts
14
Reaction score
17
Habar wana JF mm ni kijana niliejikita kwenye kilimo cha vitunguu maji ndo mara yang ya kwanza kulima lkn nashukuru Mungu vimeenda vzur na vipo katika hatua ya mwsho je ntapata wap masoko mashamba yapo Mbeya-ilongo.asanteni
 
Unategemea kupata gunia ngapi za vitungu?
Jaribu kuwatafuta wakomoro wao huwa wanunua kwa bei nzuri

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom