Natafuta soko la Mihogo

Natafuta soko la Mihogo

chodoo

Member
Joined
Mar 6, 2012
Posts
93
Reaction score
34
Nimelima Mihogo aina ya kiroba Eka tatu bagamoyo, na sasa iko tayari Kwa ajili ya kuvunwa, Naomba msaada Kwa anayejua Soko zuri la Mihogo ningependa kuuza Kwa jumla.
 
MWENYE MUHOGO MIBICHI ULIO TAYARI KUVUNA TUWASILIANE SOKO LIPO DAR

SIFA KUU

IWE INAIVA KWA KUCHEMSHWA NA KUKAANGWA NA ISIWE MICHUNGU

CALL 0656956809 AU 0743243444 MR GERALD
 
MWENYE MUHOGO MIBICHI ULIO TAYARI KUVUNA TUWASILIANE SOKO LIPO DAR

SIFA KUU

IWE INAIVA KWA KUCHEMSHWA NA KUKAANGWA NA ISIWE MICHUNGU

CALL 0656956809 AU 0743243444 MR GERALD

Unanunuaje? Kwa kilo au kiroba? Sh ngapi unanunua
 
Acha uvivu piga hizo no uulize hayo maswali

We ffala kweli unadhani mi nafanya biashara ya mihogo ndio nikupigie simu? Yaani mi nipige simu kwako kuhusu mihogo? Bbwege kweli wewe .. Nilitaka uweke details moja kwa moja kukusaidia kwenye hiyo biashara yako ya milala nje sababu wengine si wanunuzi wanasoma tu na kupita!.. unauza mihogo tu hivyo je ungefanya biashara ya bureau de change si ungekua unatukana kila anayekuja dukani kwako.. pummbaf wewe
 
We ffala kweli unadhani mi nafanya biashara ya mihogo ndio nikupigie simu? Yaani mi nipige simu kwako kuhusu mihogo? Bbwege kweli wewe .. Nilitaka uweke details moja kwa moja kukusaidia kwenye hiyo biashara yako ya milala nje sababu wengine si wanunuzi wanasoma tu na kupita!.. unauza mihogo tu hivyo je ungefanya biashara ya bureau de change si ungekua unatukana kila anayekuja dukani kwako.. pummbaf wewe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mkuu weka taarifa hapa! Ili sisi tunawaza kulima muhogo tushawishike...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom