Natafuta soko la mbegu za ubuyu

M18

Member
Jan 3, 2015
76
28
Habari ndugu zangu,
Natafuta soko la mbegu za ubuyu, kila baada ya cku 3 nakusanya gunia, hivyo wote wenye kazi nazo km kuchanganyia kwnye chakula cha kuku,nguruwe n.k.
Naomba ni pm tuyajenge.
Check picha ni baadhi ya mbegu zenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…