M M18 Member Jan 3, 2015 76 28 Aug 3, 2019 #1 Habari ndugu zangu, Natafuta soko la mbegu za ubuyu, kila baada ya cku 3 nakusanya gunia, hivyo wote wenye kazi nazo km kuchanganyia kwnye chakula cha kuku,nguruwe n.k. Naomba ni pm tuyajenge. Check picha ni baadhi ya mbegu zenyewe
Habari ndugu zangu, Natafuta soko la mbegu za ubuyu, kila baada ya cku 3 nakusanya gunia, hivyo wote wenye kazi nazo km kuchanganyia kwnye chakula cha kuku,nguruwe n.k. Naomba ni pm tuyajenge. Check picha ni baadhi ya mbegu zenyewe