Nimepoteza smart4ne yangu, natafuta simu itayonipa mawasiliano kwa kipindi hiki. budget 20k strictly. Kwa aliyetayari anipm.
Anataka sim ya 20k syo smartphone! Itabidi atafute kitochiMkuu 20k ni sawa na 20*1000=20,000/-. Embu tuambie smart phone gani unayotaka ya elfu 20?
Wakuu, sijadharau mtu. Ila naongea budget niliyonayo nipate basic phone ili nirudi hewani. Kwa akili ya kawaida sidhani kma kuna smartphone yoyote itayouzwa 20k, ila basic phone naweza nkapata. Ni hivyo tu!hata tochi sio 20k bhana, acha dharau mkuu au alimaanisha 200k? The Giant
hata tochi sio 20k bhana, acha dharau mkuu au alimaanisha 200k? The Giant
k-1000mi naomba kuelimishwa k imesimama for what? Manake naona inatumikatumika sana.