Natafuta shule ya temple nifundshe

Natafuta shule ya temple nifundshe

John sky

Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
34
Reaction score
1
Mimi ni mwalim ninaesubir ajira,natafuta temple kwa shule hasa za private...ni mwalimu wa physics na hesabu..namba za simu 0654919407/0753157624..tuwasiliane kwa mwenye hitaji hilo
 
Nafasi zipo lakini hatuhitaji MTU wa tempo tunajitaji mwl wa muda mrefu.
 
Hizo namba zako kila nikipiga hazipatikani. Kuna chuo hapa kinahitaji mwalimu wa masomo kama yako haraka iwezekanavyo, mshahara ni Tshs 2,500,000/= hiyo ni take home, kama upo tayari kufundisha ila si temple utapewa mkataba wa miaka mitano, ukiwa fit unapewa permanent mkataba baada ya hiyo miaka mitano. Nyumba ipo ina vyumba vitatu, choo, bafu na jiko. Umeme wa uhakika na umeunganishwa kwenye luku ya chuo hivyo ulipii wewe. Maji yapo katika mfumo huohuo kama wa umeme. Ukifanya kazi hiyo miaka mitano, ukitaka kujiendeleza ni jukumu la chuo kukulipia ada na kila kitu kitakachohusu taaluma yako. Kama uko tayari ni PM tafadhari.
 
Hizo namba zako kila nikipiga hazipatikani. Kuna chuo hapa kinahitaji mwalimu wa masomo kama yako haraka iwezekanavyo, mshahara ni Tshs 2,500,000/= hiyo ni take home, kama upo tayari kufundisha ila si temple utapewa mkataba wa miaka mitano, ukiwa fit unapewa permanent mkataba baada ya hiyo miaka mitano. Nyumba ipo ina vyumba vitatu, choo, bafu na jiko. Umeme wa uhakika na umeunganishwa kwenye luku ya chuo hivyo ulipii wewe. Maji yapo katika mfumo huohuo kama wa umeme. Ukifanya kazi hiyo miaka mitano, ukitaka kujiendeleza ni jukumu la chuo kukulipia ada na kila kitu kitakachohusu taaluma yako. Kama uko tayari ni PM tafadhari.
Huo mshahara ni 250000 or 2500,000
 
Mimi ni mwalim ninaesubir ajira,natafuta temple kwa shule hasa za private...ni mwalimu wa physics na hesabu..namba za simu 0654919407/0753157624..tuwasiliane kwa mwenye hitaji hilo

Nawe Ni mhitimu wa chuo.Juzi dada Stella kasema akikuta mtoto darasa LA 3 hajaunganisha kkk mkuu wenu anafungashiwa virago wenzako wengi wakaja juu dhidi yake,wa kumtetea tulijitokeza.Nawe tunapoanza kukuchambua wenzako wa mzao wa brn wataanza kukutea wakati hata tukikwambia malizia kirefu cha hiyo tempo huwezi na pengine hata maana yake hujui zaidi ya kusikia kwa wenzio kuwa wakienda likizo ya chuo watasaka tempo.Tunamshukuru Mungu yule dada aliyejiuzulu baada ya kugomea brn yenu mtumbua majipu Kamkabidhi Chain saw na inaelekezwa huko kwenye regrading.Nitaipongeza hiyo shule itakayokuajiri.
 
Hizo namba zako kila nikipiga hazipatikani. Kuna chuo hapa kinahitaji mwalimu wa masomo kama yako haraka iwezekanavyo, mshahara ni Tshs 2,500,000/= hiyo ni take home, kama upo tayari kufundisha ila si temple utapewa mkataba wa miaka mitano, ukiwa fit unapewa permanent mkataba baada ya hiyo miaka mitano. Nyumba ipo ina vyumba vitatu, choo, bafu na jiko. Umeme wa uhakika na umeunganishwa kwenye luku ya chuo hivyo ulipii wewe. Maji yapo katika mfumo huohuo kama wa umeme. Ukifanya kazi hiyo miaka mitano, ukitaka kujiendeleza ni jukumu la chuo kukulipia ada na kila kitu kitakachohusu taaluma yako. Kama uko tayari ni PM tafadhari.

ID yako tu inatia mashaka..kuna harufu ya utapeli hapa!!
 
ID yako tu inatia mashaka..kuna harufu ya utapeli hapa!!

Yaani unaomba msaada, mtu anataka kukusaidia unahisi harufu ya utapeli? Aya buana. Kwa ufupi ID yangu ni ya kawaida inanifafanua, mimi ni mlinda amani mvuruga amani, hili nalitekeleza sana pale zitokeapo vurugu alafu nikaamuliwa kwenda kutuliza, mara nyingi nimekuwa nikiongeza idadi ya majeruhi badala ya kuwapunguza. Fujo itokeapo mjini huwa sichezi mbali na maduka ya simu ili wenye maduka wakichanganywa na ule moshi niutumiao kutawanya waleta fujo nijipatie walau simu mbili tatu au siyo mkuu. ME ndo Mshikawezi Mwezi kijana kuwa makini.
 
Mimi ni mwalim ninaesubir ajira,natafuta temple kwa shule hasa za private...ni mwalimu wa physics na hesabu..namba za simu 0654919407/0753157624..tuwasiliane kwa mwenye hitaji hilo


Mwalimu nasikitika kukueleza kwamba...

Umekosea kuleta ujumbe kwa kimaandishi!

Nilipokuwa darasa la kwanza mwalim wangu aliyenifundisha kusoma na kuandika alinisisitizia jambo jema saaana..

Herufi na silabu hizi zinaleta maana ya neno zikiunganishwa, akaniambia pia husije ukaunganisha herufi na silabu kutengeneza neno ambalo hauelewi maana yake, siku muulewa nikamuuliza una maanisha nini akasema kusikia neno na kuliandika ni taofuti,

Hivyo basi ukisikia neno hakikisha unaelewa jinsi ya kuliandika na kutamka bila kusahau maana yake.

Ukiweza hapo maisha ya elimu yanakuwa mazuri....

Sasa kwa case yako umewaduwaza watu woote sisi sote tuliopitia uzi wako,

Mimi niliposoma tu heading kabla sijafungua nilijiuliza huyu ni KUHANI ama mwalim..

Temple maana yake sehemu ya kuabudia dear teacher... sasa sijui wewe ulikuwa unamaanisha nini tafadhali!

Pole kama nimekukwaza boss
 
Kwa maelezo yako ni wazi kabisa umeanza kidato cha kwanza 2006 na umemaliza Degree yako 2015. Nina uhakika una degree tena ni B.Sc with Education ila makosa ya uandishi wako yamesababishwa na kipindi ulichopata elimu yako. Dear Dr Ndalichako naomba tuvushe ili tuendane na Elimu tulizonazo.

Ni mimi Malezo kukuletea habari hii
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu nasikitika kukueleza kwamba...

Umekosea kuleta ujumbe kwa kimaandishi!

Nilipokuwa darasa la kwanza mwalim wangu aliyenifundisha kusoma na kuandika alinisisitizia jambo jema saaana..

Herufi na silabu hizi zinaleta maana ya neno zikiunganishwa, akaniambia pia husije ukaunganisha herufi na silabu kutengeneza neno ambalo hauelewi maana yake, siku muulewa nikamuuliza una maanisha nini akasema kusikia neno na kuliandika ni taofuti,

Hivyo basi ukisikia neno hakikisha unaelewa jinsi ya kuliandika na kutamka bila kusahau maana yake.

Ukiweza hapo maisha ya elimu yanakuwa mazuri....

Sasa kwa case yako umewaduwaza watu woote sisi sote tuliopitia uzi wako,

Mimi niliposoma tu heading kabla sijafungua nilijiuliza huyu ni KUHANI ama mwalim..

Temple maana yake sehemu ya kuabudia dear teacher... sasa sijui wewe ulikuwa unamaanisha nini tafadhali!

Pole kama nimekukwaza boss



nashangaa unaandika waraka mkubwa wa kumkosoa mwenzio wakati wewe mwenyewe ni kiazi tu..

hiki kiswahili cha HUSIJE umefundishwa na nani??
nakereka sana na watu kama nyie

husije=usije
hupo=upo

daaa natamani niwatilie sumu
 
Watu na hakiri finyu yani jamaa kachapia kidogo tu shida
Hata wewe unae mkosoa mbona hukupata 100% marks za mitihani yako darasani.
Je ulikuwa huna akili za kutosha au kilaza wa kuandika spelling,

It's normal for me,mtu akikosea spelling bcz yeye sio mungu,
Na hujui mtu ameandika akiwa na tension gan

Be serious km unataka kumpa saada msaidie sio maneno mengi kama njiwa
 
Back
Top Bottom