Natafuta shule ya kufundisha Physics & Mathematics

Natafuta shule ya kufundisha Physics & Mathematics

mwasambili

Senior Member
Joined
Oct 28, 2013
Posts
151
Reaction score
77
HABARI WAHESHIMIWA,
BY PROFESSIONAL NI CIVIL ENGINEER(nipo mwaka wa nne nategemea kuhitimu mwaka huu),lakini nina uwezo wa kufundisha masomo ya physics na mathematics(kuanzia form one hadi form six),,kwa muhula ujao huwa tunautumia kuandaa project ambapo binafsi ninategemea kuikamilisha wiki mbili zijazo.
hivyo nitaanza kuwa na nafasi kuanzia tarehe 30/03/2015.
kwa yeyote ambaye ana uhitaji nami tuwasiliane 0716256111
NB.ninatafuta shule za Dar es salaam tu.

natanguliza shukrani za dhati
 
Kuna shule inaitwa st.anne marie huwa wanauhaba wa walimu wa physics nenda kawaulizie....ipo mbezi kwa msuguli
 
Kwanini usitafute Center nzuri ukafungua kituo chako? Na vipi ulichagua Civil wati nyota yako ni ya ualimu?
 
njoo usome post graduate diploma in education ,,,,mwaka mmoja tu serikali ikupe kituo man wew nyota yako ni ualimu hayo mengne ulikuw unasomea sifa na kujichelewesh kula mshahara
 
Kuna Shule Moja Moshi yenyewe inakupa vipindi vitatu kwa week unapewa na Ticket ya ndege kwenda na Kurudi Dar sasa kwa kua Unataka shule za Dar basi poa!
 
Jamani tumieni busara kumjibu mwenzenu,

Mwiahowe tutaogaopana kuweka shida zetu hadharani.
Mjibu kwa busara,

Atafunguaje kituo wakati hata mia hana
 
Watu wengine bwana, jamaa anatafuta tempo watu wanamkatisha tamaa; but kama nia ya kufundisha unayo utapa!
 
HABARI WAHESHIMIWA,
BY PROFESSIONAL NI CIVIL ENGINEER(nipo mwaka wa nne nategemea kuhitimu mwaka huu),lakini nina uwezo wa kufundisha masomo ya physics na mathematics(kuanzia form one hadi form six),,kwa muhula ujao huwa tunautumia kuandaa project ambapo binafsi ninategemea kuikamilisha wiki mbili zijazo.
hivyo nitaanza kuwa na nafasi kuanzia tarehe 30/03/2015.
kwa yeyote ambaye ana uhitaji nami tuwasiliane 0769454999
NB.ninatafuta shule za Dar es salaam tu.

natanguliza shukrani za dhati

sasa kama by profession ni civil engineer kwa nini unatafuta kazi ya ualimu, au unaendelea kutafuta na za civil engineering?
 
Kwanini usitafute Center nzuri ukafungua kituo chako? Na vipi ulichagua Civil wati nyota yako ni ya ualimu?
yote naweza kuyamudu ila kwa sasa nimependelea nifundishe kama mwaka mmoja hivi......nina mpango wa kuendelea na masters
 
Back
Top Bottom