Natafuta Shule nzuri ya Msingi ya Kikristo

Kitumburee

Senior Member
Jan 31, 2012
139
88
Heshima kwenu wanajamvi.

Naomba nwenye kujua shule nzuri ya msingi ya kutwa / day kumwanzisha mtoto darasa la kwanza. Shule iwe Dar Es Salaam maeneo ya Mbezi beach au Goba au maeneo ya jirani, ikiwa ya kikristo itapendeza. Ada isiyozidi milioni 4 kwa mwaka.

Shukrani
 
Kama haujapata.. au unaweza badilisha mawazo consider St. Anne Marie, ipo mbezi ya kimara but wana usafiri na ipo vizuri mnoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…