Hujaeleza ni ke au me...... Shule nzuri zipo na zinajulikana, kuna Marian boys and girls, St Francis, St Joseph cha msingi huyo mdogo wako awe fit kichwani maana hawapokei vilaza hao
Mkuu naomba nifahamishwe ada zao na mahali zipo izo shule
Hujaeleza ni ke au me...... Shule nzuri zipo na zinajulikana, kuna Marian boys and girls, St Francis, St Joseph cha msingi huyo mdogo wako awe fit kichwani maana hawapokei vilaza hao
Shukrani sana mkuu na vipi ukitaka kumuhamishia mtu inakuaje maana kuna mdogo wangu wa kike yupo form one nataka akaanzie hapo tena form one sijui utaratibu utakuwaje hapo kwamba interview inabidi afanye mwaka huu au hapo wakati atakapohamia?Marian zipo bagamoyo last time nimecheki ada ilikuwa mil1.8 sijui kwa sasa, shule zingine sijui ada lakini nadhani zitakuwa kwenye mil2 St Francis na mil3 St Joseph... St Francis iko mbeya, St Jo iko dar
Shukrani sana mkuu na vipi ukitaka kumuhamishia mtu inakuaje maana kuna mdogo wangu wa kike yupo form one nataka akaanzie hapo tena form one sijui utaratibu utakuwaje hapo kwamba interview inabidi afanye mwaka huu au hapo wakati atakapohamia?
Sorry sikulisema hilo, mdogo wangu ni wa kiume lkn hata ikiwa mchanganyiko au wavulana watupu sawa tu
Shukrani mkuu ngoja tuhangaikie basiInabidi afanye interview mwaka huu
Thanks bro, na vp kuhusu perfomance ya shule (Eagle boys), ada na form zinapopatikana kama hautojali kunisaidia kwa hili.