Matokeo ya kidato cha nne hayakua mazuri ila nina B-english,C-kiswahili na C-biology.Niko tayari kwa shule yenye nafasi nzuri yenye kufaulisha wanafunzi wa kidato cha sita na yenye mazingira mazuri ya kusoma.
Ikiwa hapa Dar es Salaam ni vizuri na nipo tayari kwa mchepuo wa ARTS.
Ikiwa hapa Dar es Salaam ni vizuri na nipo tayari kwa mchepuo wa ARTS.