Natafuta shule nzuri Arusha au Moshi

Natafuta shule nzuri Arusha au Moshi

Katika shele zenye viwango vya kimarekani St. Jude inaongoza japo hizo shule ni za bure kwa watoto maskini tu wenye akili safi sidhani kama wanachaji ada ninavyojua hawachaji hata thumni.
ingekuwa kweli ingekuwa na maelfu ya wanafunzi
 
usihangaike na mashule ada mamilioni halafu performance mdebwedo. kama up stair yupo vizuri afanye interview za za kujoin St marys Mazinde juu, kifungilo, Anuarite na Kibosho sec.
 
Mkuu nakushauri kwa dhati kabisa mpeleke either Visitation Girls or Marginificant zote zipo Kilimanjaro wilaya ya Siha. Zinafanya vizuri Sana kwa kweli.
 
Mkuu nakushauri kwa dhati kabisa mpeleke either Visitation Girls or Marginificant zote zipo Kilimanjaro wilaya ya Siha. Zinafanya vizuri Sana kwa kweli.
Good hata mimi mtoto wangu anasoma Magnificat ni shule nzuri form two wamefanya vizuri sana.mwanangu darasa lao wote walipata distinction na mwaka jana form two walitoa 10 bora.ingawa bado ni mpya
 
Anarukishwa O Level to A Level nchi gani hiyo
Ila napata shaka fulani hiv pengine humu kuna robot ila natania tu msininukuu
 
Hakuna shule za hovyo kama za Mastista tena ukute ni wahindi, Mimi ni Mkatoliki na wajua Ubaguzi wanao sana.
Wewe unategemea huyo kila.za wako ataziweza shule za Masista..??

Wewe saizi yako ni kata..
 
Labda mwakani maana mwaka huu wameshajaza kama kweli ni wazuri.
Na mwanao asomeke vizuri maana interview za huko nazo zina maadili.
USHAURI WA BURE.
shule za jinsia moja hazina uhalisia wa maisha na wanapata shida sana vyuo vikuu. Wanadanganyika kirahisi mno !!. Akiambiwa nakupenda anatetemeeeka. Mwache asome mchanganyiko azoee uwongo na ukweli wa jinsia ya pili.
 
usihangaike na mashule ada mamilioni halafu performance mdebwedo. kama up stair yupo vizuri afanye interview za za kujoin St marys Mazinde juu, kifungilo, Anuarite na Kibosho sec.
Mary Goret unaicha wapi...
 
Back
Top Bottom