sambeke
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 713
- 651
Wanajamvi, naombeni mnisaidie,
Mtoto wangu wa kike anamaliza darasa la saba mwaka huu. Nisaidieni kupata shule bora. Iwe Arusha au Moshi:
1. Iwe shule yenye kuzingatia maadili
2. Inayofanya vizuri ki academic
3. Ikiwa ya mchepuo wa sayansi ni bora zaidi
4. Napendelea zaidi shule za Catholic.
Mtoto wangu wa kike anamaliza darasa la saba mwaka huu. Nisaidieni kupata shule bora. Iwe Arusha au Moshi:
1. Iwe shule yenye kuzingatia maadili
2. Inayofanya vizuri ki academic
3. Ikiwa ya mchepuo wa sayansi ni bora zaidi
4. Napendelea zaidi shule za Catholic.