Natafuta shamba sengerema

Natafuta shamba sengerema

Rock City

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2012
Posts
1,266
Reaction score
505
Wakuu,

Kwa aliye mwenyeji wa lake zone, natafuta shamba eneo la Sengerema (highway ya Mwanza-Sengerema)
Yaani liwe ni jirani ya Kigongo ferry au hata vijiji vya jirani yake, likiwa kwenye ukingo wa ziwani litanifaa zaidi

Tafadhali niPM kwa mawasiliano zaidi
 
Una maanisha ni kati ya Usagara na Kigongo? au kati ya Bukumbi na Kigongo?
mm nafikiri ukipata maeneo ya mwasonge (saint Benjamini) ndio kuzuri zaidi au Chole.
 
Back
Top Bottom