Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,139
- 39,381
Mwambie aongeze juhudi kwenye masuala ya networking...
80% ya ajira hazitangazwi...
Kweli mkuu wangu hata mi kazi niliyopata hapa haikutangazwa na kila uchao watu wanaongezwa then matangazo ya kazi hifuata....
Networking inalipa kwakweli tatizo ndugu zetu hawaelewi hili.....