Natafuta sehemu ya kujitolea, nimesoma clinical medicine

Natafuta sehemu ya kujitolea, nimesoma clinical medicine

username required

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
364
Reaction score
1,106
Nimesoma clinical medicine.
Nimemaliza mwaka huu, hivyo ninahitaji kupata sehemu ya kujitolea kupata kujifunza zaidi na kupata uzoefu.
Nimesoma chuo cha private, na changamoto kubwa wa hivi vyuo vya private ni kupata muda mchache wa kufanya mafunzo ya wodini maana chuo chetu hakina hospitali yake hivyo huwa tunategemea kipindi cha clinical rotations.

Umri wangu ni miaka 32.

Jinsia Me

Naishi ukonga moshi bar, hivyo nikipata hospitali/kituo cha afya au zahanati sehemu za karibu na maeneo haya nitashukuru sana.

Mawasiliano yangu ni haya 0758120076.
 
Duuh kujitolea nayo inaombwa?
Ndio,
Sasa utaenda tu sehemu bila kuomba?
Utaratibu mzuri ni huu, unachukua barua ya kujitolea then unapelekea kwa mganga mkuu wa mkoa wao wanakupangia lakini haiguarantee hiyo sehemu uliyopangiwa watakupokea.

Hivyo bora kuanzia mwisho kwa kwenda hospitali/kituo cha afya uwaombe wakakikubali watakupa anwani utapeleka kwa mganga mkuu wa mkoa, yeye atarudisha majibu kwa DMO then unawapa hiyo anwani ya sehemu unayotaka kwenda.
 
Nimesoma clinical medicine.
Nimemaliza mwaka huu, hivyo ninahitaji kupata sehemu ya kujitolea kupata kujifunza zaidi na kupata uzoefu.
Nimesoma chuo cha private, na changamoto kubwa wa hivi vyuo vya private ni kupata muda mchache wa kufanya mafunzo ya wodini maana chuo chetu hakina hospitali yake hivyo huwa tunategemea kipindi cha clinical rotations.

Umri wangu ni miaka 32.

Jinsia Me

Naishi ukonga moshi bar, hivyo nikipata hospitali/kituo cha afya au zahanati sehemu za karibu na maeneo haya nitashukuru sana.

Mawasiliano yangu ni haya 0758120076.
Nenda halmashauri ofisi ya mganga mkuu wa mkoa uliopo, nenda na vyeti vyako vyote, vaa kiofisi na uwe serious mwambie unaomba akupangie kituo cha afya cha kujitolea. Utapewa barua ya kuripoti kituo fanya hivyo haraka na umweleze wazi unapotokea ila usichague kituo maana akikupanga mbali anakupanga sehemu ambazo kuna nyumba za wafanyakazi

Nb. Ukipata kituo kaa mkao wa kuajiriwa serikalini muda wowote ila uombe ajira zikitoka
 
Usipende kila kitu kukitafuta mitandoni,humu hakuna msaada

Nenda moja kwa moja kwenye vituo vya afya na mahospital mbona dar ni mengi tu
Usimkatishe tamaa.
Wewe kama haujawahi pata msaada mitandaoni basi nikupe pole, mimi nimepata mafanikio mengi na nimekutana na watu wengi wa maana sana hapa Jf.
Ukiwa kijana wacha kukariri, na usiwe na mawazo mgando, kama wewe haukuwahi kufanikiwa kupitia mitandaoni basi rudi nyuma kisha kaa chini na ujiambie wapi unafanya sio sawa??
 
Kabla ya kumaliza chuo ulitakiwa ujue ni wapi utaenda baada ya kuhitimu mafunzo.

always unatakiwa uwe na map keep in your mind
Kipindi naishi tabata kinyerezi niliwahi kujitolea zahanati ya malecela ipo tabata posta , hapo kidogo baadhi ya staffs najuana nao .

Ila kwa sasa naishi huku moshi bar ni mbali kidogo na huko na si chini ya elfu 7 nitenge kwa siku ,ukizingatia ukijitolea mtu hulipwi , sehemu zinazolipa ni chache mno. Hivyo nikaona niulizie maeneo ya huku mpaka gongo la mboto ,mombasa, banana nk.
 
Kipindi naishi tabata kinyerezi niliwahi kujitolea zahanati ya malecela ipo tabata posta , hapo kidogo baadhi ya staffs najuana nao .

Ila kwa sasa naishi huku moshi bar ni mbali kidogo na huko na si chini ya elfu 7 nitenge kwa siku ,ukizingatia ukijitolea mtu hulipwi , sehemu zinazolipa ni chache mno. Hivyo nikaona niulizie maeneo ya huku mpaka gongo la mboto ,mombasa, banana nk.
dira ni muhimu
 
Kipindi naishi tabata kinyerezi niliwahi kujitolea zahanati ya malecela ipo tabata posta , hapo kidogo baadhi ya staffs najuana nao .

Ila kwa sasa naishi huku moshi bar ni mbali kidogo na huko na si chini ya elfu 7 nitenge kwa siku ,ukizingatia ukijitolea mtu hulipwi , sehemu zinazolipa ni chache mno. Hivyo nikaona niulizie maeneo ya huku mpaka gongo la mboto ,mombasa, banana nk.
Very and highly discipline
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom