Hello wadau,
Mimi ni kijana umri miaka 40.natamani nijifunze kutengeneza simu hapo baadae nifungue ofisi yangu inshaalah!
Naomba mwenye kunipatia ruhusa kujua hilo kiundani idea ya sayansi ninayo wala usisite kunitafuta inbox.
Angalizo: najiamini nitaweza, najiheshimu pia
Kuhusu malipo wala usijali nitajitahidi tukishindwana hakuna ubaya.nipo dar.Asante
Mimi ni kijana umri miaka 40.natamani nijifunze kutengeneza simu hapo baadae nifungue ofisi yangu inshaalah!
Naomba mwenye kunipatia ruhusa kujua hilo kiundani idea ya sayansi ninayo wala usisite kunitafuta inbox.
Angalizo: najiamini nitaweza, najiheshimu pia
Kuhusu malipo wala usijali nitajitahidi tukishindwana hakuna ubaya.nipo dar.Asante