Natafuta Scholarship

Miss liquid

Member
Joined
Apr 25, 2019
Posts
24
Reaction score
15
Hello, niliomba nafas ya kusoma masters katika chuo fulani apa Tanzania, nimebahatika kupata nafasi
Swali langu ni Je naweza kuomba sponsership kwenye shirika lolote au ni lazima kusubir zile zinazotangazwa na chuo husika??
Wasiwasi wangu ni je ukisubir alafu ukakosa?? Si nitakua nepoteza nafas ya kusoma mwaka ujao 2020 ?
Naombeni ushauri na maelekezo mengine kama yapo
Pia kwa anaefahau watu/mashirika yanayotoa sponserships hapa Tanzania /nje ya Tz .
Asanteni.
 
Jifunze kwanza kuandika sponsorship kisha urudi hapa na mwandiko unaoeleweka.
Wasomi wa nchi hii,sijui wana shida gani!!?!!
 
Jifunze kwanza kuandika sponsorship kisha urudi hapa na mwandiko unaoeleweka.
Wasomi wa nchi hii,sijui wana shida gani!!?!!
Acha kujifanya mjuaji ungeacha kama haikuhusu, bas unajikuta bonge la mjanja sepa kule,
 
Acha kujifanya mjuaji ungeacha kama haikuhusu, bas unajikuta bonge la mjanja sepa kule,
Kwa akili hizo tafuta chuo kikuu cha kata usome hiyo masters yako,nani atakubali kumfadhili msomi uchwara kama wewe!
 
Zpo
Zipo za nje ila inategemea na coz unayochukua kama upo science njoo PM kama art basi wala usihangaike kunitafuta mkuu
 
Zpo

Zipo za nje ila inategemea na coz unayochukua kama upo science njoo PM kama art basi wala usihangaike kunitafuta mkuu
PM kunani? au mambo ya connection
 
Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu ndani na nje ya nchi. Utajibiwa maswali yako yote na huduma za ziada kwa gharama ya Tsh 5000 tu. 0769 524 022.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…