Huu utapeli uliwahi mfirisi mshikaji wangu.
Yaani ni hivi huyu anaye nunua anazo hizo sarafu.atampatia mwenzake ajifanye anauza .kweli mara ya kwanza atanunua.halafu mara ya pili atakutangazia dau kubwa sana.halafu atokea mtu mwingine anazo hizo sarafu atajifanya anaziuza huyo naye atapandisha bei juu kidogo ila atakuwa nazo nyingi.ukishanunua tu,huyu jamaa atakwambia ameshaacha hiyo biashara.hivyo utabaki nazo mkononi