presider
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,420
- 1,876
Bado unazo hzo pesa mkuu...?mkuu mimi nanazo ila sijaangalia huo mwaka nipo mbali na home nikifanikisha nakuchek mkuu.
Bado unazo hzo pesa mkuu...?mkuu mimi nanazo ila sijaangalia huo mwaka nipo mbali na home nikifanikisha nakuchek mkuu.
Bado zipo mkuu...?kuna dogo anazo,,unatoa sh ngapi kwa 1?
Bado unazo mkuu...?unahitaji ngapi nikupatie? hassanidd20@gmail.com
Bado unazo mkuu...?Ninazo,tuwasiliane
Ninazo,tuwasiliane
Hata mie ninayo ya 1992 Kama anataka tutafutaneNi utapeli zipo za 1992
Nenda bot.Habari wadau.
Natafuta hii sarafu ya shillingi 20 yenye mwaka 1993 mwenye nayo ani pm au anicheck kwa 0687532647.
Rejea Historia vizuri bro sh.ishirini zipo pia kuanzia mwaka 90 kipindi cha utawala wa Ally Hassan mwinyiisarafu ya sh.20 ilitolewa na benk kuu ya mwaka 1961-1981 not otherwise na mimi ninazo izo uyo atakaekwambia ya mwaka tofauti na huu nilokupa kaa chonjo!
HUU utapeli umekaa jaaje, mtu anatapeliwa vipi? Mana naskia watu wengi wanasema ni utapeli.Ni utapeli zipo za 1992
mi napenda kujua matumizi yako. Ninazo nimehifadhi kuja kuwaonesha watoto wangu...naweza kukupa au kukuazima siuzi