Natafuta sana hii kitu

Natafuta sana hii kitu

TAI DUME

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
10,745
Reaction score
29,220
Wakuu kwa anayefahamu wapi naweza kupata mashine ya umeme ya kutengenezea mkaa mbadala (briquette making machine), maana nilienda pale ARTI Energy dar lakini zimeisha wanasema mpaka mwezi wa nane mwanzoni ndio mzigo utaingia. Zaidi ya hao Arti energy kuna supplier mwingine hapa Tz??????????

Tafadhali
 
Wakuu kwa anayefahamu wapi naweza kupata mashine ya umeme ya kutengenezea mkaa mbadala (briquette making machine), maana nilienda pale ARTI Energy dar lakini zimeisha wanasema mpaka mwezi wa nane mwanzoni ndio mzigo utaingia. Zaidi ya hao Arti energy kuna supplier mwingine hapa Tz??????????

Tafadhali
Umefanikiwa?
 
Back
Top Bottom